Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nilikuwapo DIAMOND JUBILEE na ECG Makongo akitabiri kuhusu tetemeko na kiongozi wa upinzani mwaka jana Julai. Na ibada hiyo. Juzi niliifuatilia live Maombi ni muhimu sana kwani yapo mengi yanayoendelea na ambayo hakika yanaweza kutudumbukiza popote.Mungu atusaidie.
Huwa namfuatilia sana huyu mtumishi wa Mungu bushiri na makanisa ambayo yapo Tanzania, yupo vizuri sana, na ukisali makanisa yake lazima utaona mafanikio, kumbe unaendaga kanisa la makongo oh glory to God basi utakua umeiva OH jesus that my boss
 
mbona unamfanya mme wangu kama cartoon vale lkn
36a8b2a24688c68a5698d7ae09151147.jpg
 
8/Malawi
5d05310a5f50e273ade6debb8fd2a23d.jpg

Tuwaonee huruma hawa jirani zetu kuhusu Ziwa Nyasa...Janchi wenyewe kamejichokea tayari, pato lao ni USD 894
Hawa jamaa 85% wanaishi maporini(maeneo ya vijini) tatizo lao kubwa ni ugonjwa wa Ukimwi
Hivyo msijiulize sana kwanini Wanyakyusa wa Kyela wanaongoza kwa Virusi vya Ukimwi huko Mbeya....ni jirani zao!!!!
......
Duuuuh
 
7/Niger
0ec974e824f0d7bd375ef22b535a7575.jpg

Haka kanchi kanapatikana huko Afrika Magharibi ..inapakana na akina Nigeria
Karibu nusu ya wananchi wake wana umri wa miaka 15 au chini ya hapo yaani Taifa lao limejaa vitoto tiupu
Kipato chao ni USD 853
29% ya wananchi wake ni mambumbumbu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom