Makapuku Forum

aisee
 
Nilikuwapo DIAMOND JUBILEE na ECG Makongo akitabiri kuhusu tetemeko na kiongozi wa upinzani mwaka jana Julai. Na ibada hiyo. Juzi niliifuatilia live Maombi ni muhimu sana kwani yapo mengi yanayoendelea na ambayo hakika yanaweza kutudumbukiza popote.Mungu atusaidie.
 
9/Madagascar

Kisiwa hiki kilichopo Kusini mwa Afrika kipato cho la ni USD 972
Hakijasumbuliwa sana na vita hivyo uchumi wake upo kwenye mielekeo wa kukua maana kuna uboreshaji wa elimu, afya., miundomini n.k hivyo uchumi wao utakuwa km Wa Sizonje
Miaka ya karibuni Uchaguzi mkuu wa nchi hiyo ulileta kasheshe
.....
 
8/Malawi

Tuwaonee huruma hawa jirani zetu kuhusu Ziwa Nyasa...Janchi wenyewe kamejichokea tayari, kipato chao ni USD 894
Hawa jamaa 85% wanaishi maporini(maeneo ya vijini) tatizo lao kubwa ni ugonjwa wa Ukimwi
Hivyo msijiulize sana kwanini Wanyakyusa wa Kyela wanaongoza kwa Virusi vya Ukimwi huko Mbeya....ni jirani zao!!!!
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…