MR T ndiyo chaguo la dada yetu sakayo, asiyekubali kushindwa sio mshindani, nami ni mshindani halisi, vipi huna sehemu pakutua shunie, sakayo sasa usimguse valentina yani sio kwa maombi hayo nitakayo poromosha
Next time usipende ku-skip unaweza kuta valentina kwa mfano alikujibu amekubali ombi lako wewe umeruka pages zote, dont my brother utakosa mke hivi hivi
Mayanga ww mume wangu Mayanga ndio ulivyo kwamba nkuamini tena ww ni aibu kwetu
Mayanga ww mume wngu Mayanga ndio ulivyo
sina la kusema tena mm ni aibu kwa majirani,
Ww n mume wangu uwongo umezidi
MR T ndiyo chaguo la dada yetu sakayo, asiyekubali kushindwa sio mshindani, nami ni mshindani halisi, vipi huna sehemu pakutua shunie, sakayo sasa usimguse valentina yani sio kwa maombi hayo nitakayo poromosha