Makapuku Forum

Makapuku Forum

hahahhh ila shedede ananifurahisha sana
kapewa likizo na boss wake kaambiwa atapangiwa kazi nyingine
kagoma hataki anataka kumlinda shunie tu
21947366f385e89d2986ac8bea0545f9.jpg
 
Lakini mkuu ulishakata shauri kwamba utawarudia mabinti wa Kinyarwanda inakuwaje uwe na wivu juu ya wa humu?
Ishu ya Rwanda ilianza baada ya kutoka kapa hapa. Shedede shahidi yangu mpaka yeye naona kageuka mlinzi eti kaajiriwa na Lee kumchunga Shunie asidabuliwe na majamaa mengine. Kuna uhaba mkubwa wa negative charge hapa JF...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom