Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Yaani we subiria tuuKweliìi kabisaa na ana mkwara ka wa babake kabisaaa
Yaani we subiria tuuKweliìi kabisaa na ana mkwara ka wa babake kabisaaa
ahhahhahahhaKweliìi kabisaa na ana mkwara ka wa babake kabisaaa
Sawasawa mkuuYaani itakuwa poa sana
Leo ktk historia
1804- majeshi ya kijerumani yaskung'utwa huko Lugalo
1857- Mtwa Wa Wabena aanzisha vuguvugu huko Makambako dhidi ya Chifu Mkwawa
1907-Wamisionari 50 wa Kiingereza wauawa huko Kilwa baada ya kushambuliwa kwa mishale
1969-Mwalimu JK Nyerere aweka jiwe la msingi wa sekondari ya Pugu
1975- Sunderland(Simba) yaichapa Vyura Fc goli 12 kwa sifuri Uwanja wa Karume uliopo Mzuzima Kipese na Kizota wang'ara
Yaani hapo hadi FaizerFix atakuja kuchangia
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila za kizungu muhimu tunaweka km kawa
......
Ndo anaenda kuvuna ??Nitatuma shem
Nasubiri mume wangu aje
Kesho tukijaaliwaUnatuma linii
ahhaahhah mume anahusikaje kwenye kutuma ndiziNitatuma shem
Nasubiri mume wangu aje
kapuku ni kapuku na kabwela ni kabwelaTofauti ya kapuku na kabwela ni nini
Sasa ni mapambano ya maombi tu tumlete valentina kanisani afunge ndoa, kazana bila kuacha,valentina ukuye jamaan mama paroko wetu
Unasema je sasaNa wewe
huku kapuku n jina tu watu wapo vereeeTofauti ya kapuku na kabwela ni nini
ujue utamkimbiza hahhaNdo anaenda kuvuna ??
ila naenda Korea kusiniutuage kabisa ili tuweke msiba
We haya tuuNdo anaenda kuvuna ??
Yaaaaaah anavyo ila alinambia alikuomba usimnunuliee kingine ...nimesoma text tena ..kweli tena labda kama kasahau ameniambia anavyo
Akija ndo mtajuaahhaahhah mume anahusikaje kwenye kutuma ndizi
Ahaaaaaaah jinga weyeeeutuage kabisa ili tuweke msiba
hapana kumwambia lazima kwan mengine yapi nilimwambiaYaaaaaah anavyo ila alinambia alikuomba usimnunuliee kingine ...nimesoma text tena ..
Thanks alafu mengine usiwe unamwambiaa bhanaaa...
MmmmmmhYaani we subiria tuu
unaenda na aisha auila naenda Korea kusini