Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani itakuwa poa sana

Leo ktk historia
1804- majeshi ya kijerumani yaskung'utwa huko Lugalo

1857- Mtwa Wa Wabena aanzisha vuguvugu huko Makambako dhidi ya Chifu Mkwawa

1907-Wamisionari 50 wa Kiingereza wauawa huko Kilwa baada ya kushambuliwa kwa mishale

1969-Mwalimu JK Nyerere aweka jiwe la msingi wa sekondari ya Pugu

1975- Sunderland(Simba) yaichapa Vyura Fc goli 12 kwa sifuri Uwanja wa Karume uliopo Mzuzima Kipese na Kizota wang'ara

Yaani hapo hadi FaizerFix atakuja kuchangia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila za kizungu muhimu tunaweka km kawa
......
Sawasawa mkuu
 
Back
Top Bottom