Makapuku Forum

Poa mkuu asante kwa ushauri wako

Umeongea vyema mkuu

Mkuu kama kuna namna ya kufanya tujulishane ili tujue cha kufanya

Hakika mkuu,inaumiza tumuombee sana mwenzetu,na waliokaribu basi wapate hata muda washiriki.sina uhakika kama ameshaondoka Dar es salaam.wacha tusubiri tufahamu taratibu ili kwa wanaoweza wasogee kumuona.wakati michango inaendelea.
Nafikiri kimeeleweka
.......
 
Yetu macho na maskio, wenye nguvu wapimane ubavu
 
Bwanamapanki wamuachee tuu ...watabwatabwata mdomoni ila kamwe hawezi kugusa N.K
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…