Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
hahahha hapana aiseeTutaenda wote
Napendaa kujua commentor alikuwa yule rafiki angu mwarabuuu??Kwa niaba ya Aouadj,Derrardja, Zerdab na MC ALGER kwa ujumla.. Tunapenda kuwatakia PASAKA njema..![]()
nisameheSio busara
Jamaan dadaSitakiiii pole yako
yaan nyie mnaonaga kapuku kama jalala kila mtu akitoka huko akifika hapa anatupia vitu vyake
hivi si kuna jukwaa la matangazo

We ni kichaaa wanguhahhahah tatizo unanichukulia mm chizi mda wote
ubarikiwe kaka angu
Huo mda wa kuangalia niutoee wapiiAsante na wewe kwa kutuangalia
NambieHahaha
Kuna muda unakuwaga na ufahamu eeh
Lazima nitume mwakilishihuwaga hamjali mtaenda tu
nimeomba msamaha ujue mwenyewe amekasirika
Wokovu umeanza kuingiaubarikiwe kaka angu
Ujue we mchocheziJamaan dada
Uzi mbona ulikuwa unaeleweka aseeUmepuyangaa
teh ndio chizi wako tena hauna wa kumpelekea umeshatoka kwenye makeleleWe ni kichaaa wangu
Asemee tumpe ushaurihahhahhahhh
WoyoooooooHatimaye kazi imekwisha Algeria
![]()
Anawezaa kukaaa vizuriHapana