Makapuku Forum

1955 - Dodi Al Fayed anazaliwa.

Alikuwa ni mtoto wa mfanyabiashara wa Misri, Mohamed Al Fayed.

Alikuwa ni mpenzi wa Princess Diana.

Walifariki pamoja mwaka 1997 katika ajali ya gari huko Paris.
Inasemekana waliuawa Kwakua Princes alikua na ujauzito wake hawakutaka kabisa kizazi cha Malkia kipate mtoto wa kiarabu maana angekua mdogo wa wajukuu wa Malkia kwa kushare mama ...R.I.P DODI EL FAYED na PRINCES DIANA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…