Makapuku Forum

UEFA CHAMPIONS LEAGUE
JUVENTUS 3-0 BARCELONA

Shujaa wa mchezo Paulo Dybala

Refarii kutoka Poland Szymon Marciniak ana rekodi nzuri na Juve, mpaka sasa ameshachezesha mechi tano za UEFA pamoja na ya leo. Mechi mbili ni Lyon vs Juventus na Juventus Vs Barcelona ambapo zote Juventus ameshinda.

Tuutazame mchezo wenyewe Juventus waliingia uwanjani sio kupata matokeo tu bali pia kumzuia Barcelona asipate goli kitu ambacho walifanikiwa, counter attack zilifanikiwa maana huwezi kuchezea mpira sawa na Barcelona.
Gerrard Pique na Mascherano waliigharimu Barcelona katika ulinzi hasa goli la pili na la tatu. MSN imeendelea kuwa butu wakiwa wamepiga mipira iliyolenga goli mara mbili.

 
*Wanaume kunyonya chuchu za wanawake tunajua kabisa wamejifunza toka walivyokuwa wadogo wakinyonyeshwa*
*lakini kitendo cha wanawake kunyonya
za wanaume ndo kina washangaza wanasayansi mmejifunza tokea wapi*

hii nayo ni ya robert mugabe
 
Asante mkuu bhinamu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…