Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
You see, such laughter and many more.
Husirembeshee sautiihahahhahah una utani nao
Ni poa katibuMwekahazina vipiiii
Jifanyee hujaonaaaHahaa!
Asante nipo hapa naangalia wenyeji mnavyo lisongeshaKaribu tulisongeshe gurudumu
Unaendaa wapiiiTuonane kesho wakuu..
Kwenye Nukuu ya leo..
Sinaga moyo huoUsije ukaanza kupiga kelele maji ya shingo.
Huku ni mubashara ndugu uzi upo kasi kama kombora la scudAsante nipo hapa naangalia wenyeji mnavyo lisongesha
NakuonaaaaNi poa katibu
isack ni mtu wake alimpata love connect badae wakashindwana akaja kuleta mrejeshoMamiii umemtaja Isaac ebu nieleweshee japo kiduchuu
Nipo kwenye majukumuNakuonaaaa
siulisema haujaelewaKwaniii nimeelewajeee
mkaribishe vizuriKupata mgeni
Ngoja nisubirie yakwakeisack ni mtu wake alimpata love connect badae wakashindwana akaja kuleta mrejesho
mmh sauti narembesha kwako tuHusirembeshee sautii
Na wewe ushapata kazii???Nipo kwenye majukumu
Natakiwa siasani nikalinde Mali ya boss
kama mm haumiamini basNgoja nisubirie yakwake
nangata wapi napuliza wapi ujue nina mume humu eb ongea ueleweke usinitafutie kesi
mbn unakuwa mkali mamaa aaaha we hujui ...embu tafuta tafuta km hataona kwanza ngoja ni
maana naona mnaliazisha watu wa makapuku ninyi niwabishiii Alf hamkubali ukwelii