Asieee!Kwa kuongezea mkuu;
Wakati wa vita, David Msuguri Alikuwa na cheo cha Brigedia Jenerali. Yeye ndio alikuwa kiongozi wa majeshi ya Tanzania katika vita ile.
Makamanda muhimu wakati wa vita ya Kagera ambao waliongoza Brigedi mbalimbali ni kama;
Luteni Jenerali Silas Mayunga a.k.a Mti Mkavu
Luteni Jenerali Imran Kombe ambaye Alikuwa Mkuu wa Intelijensia Jeshini wakati wa vita.
Mapema tu baada ya vita akahamishiwa idara ya Usalama wa Taifa kabla ya kuja kuuwawa baadae kwa kuvujisha siri za nchi kwa Mrema.
Meja Jenerali Chacha Marwa " Kambale "
Huyu na kikosi chake walikutana na battle kali hali iliyomfanya wakimbilie mto Kagera ndani ya maji ili kujipanga upya na ndipo jina la Kambale lilipoibuka.
Meja Jenerali John Walden aka Black Mamba.
Wanasema huyu alikuwa ni chotara hivyo alikuwa kama Mzungu, Brigedi yake ilikuwa moto wakuotea mbali ambayo ilikuwa na vijana wenye morali kubwa sana.
mashetani wekunduOna picha za zile klabu za mpira ambazo nilitamani uwe shabiki wake...
Achana na lee...
Waona kwanza man united, timu ambayo mimi nashabikia, mdogo wako anashabikia na mlinzi wako nyagei anashabikia..
Hiyo ndio club ya manchester united yenye makazi yake katika jiji la manchester..nchini uingereza..
Ni moja ya club kongwe na zenye mafanikio katika soka ..
Kuna wachezaji maarufu kama Wayne Rooney, Ibrahimovic, marcus Rashford, David De Gea na wengine weeeeengi
Weeee huonagii shunie anamtaka chicharitooUnaelezea mpira lakini akili iko kwa mguu wa mtoto!!!
Sasa uhb umeingia vipi hapo
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji22] [emoji22] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Okey my love...take care
Am logging off.. i will be back later
Makapuku see you.
Jovitha vipi tena jamaan[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji22] [emoji22] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
baby mm simtaki sbbu sijui ni hb werevaaaa mm nampenda anavyojua kucheza mpiraWeeee huonagii shunie anamtaka chicharitoo
Hii hali kutakuwa kuna namna[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji22] [emoji22] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yale yaleeeeJovitha vipi tena jamaan
hahahhaha acha nikae kimyaHii hali kutakuwa kuna namna
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yale yaleeee
Jovitha mamboo[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji22] [emoji22] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Chicharito anarudi !Weeee huonagii shunie anamtaka chicharitoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jovitha mamboo
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]hahahhaha acha nikae kimya
Ameona vitu mubasharaaa...Jovitha vipi tena jamaan
Atamfunga cech arsenooChicharito anarudi !
Aje kaendeleze historia ya kuwafunga
Leee nini mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Baby ukuje huku...Asante mume wangu!!!
Hizi za Tz sina shaka nazo saana!!!
Shida kubwa inakuja kwenye zile timu za nje jamani!!
Hahaha!Atamfunga cech arsenoo
Mwenzanguuu mmh we hayo maneno hujayaona mmmh sina neno ngoja nikaoge nipunguze pressure nalud[emoji124] [emoji124] [emoji35]Jovitha vipi tena jamaan
We nae shilawaduuu mmmh[emoji109]Hii hali kutakuwa kuna namna
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]