Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hhaahahhahLee namgawa bure
hhaahahhahLee namgawa bure
we ushindi wa simba unakuhusu nn fakalava we si umesema ni yangaNiko hapa Miti Mirefu nashehekea ushindi wa mnyama
Takiiiii, we si wapitia kwa Shunie!!!Nimekumiss wa milele wangu
Mkeshe kabsa.....hilo si la kuuliza ashindwe yeye tu
Hahahaaa!Ulale huko huko
Mmh watu wanakimbia na pichu mkononiZile mbwembwe tuu, tz hamna mwenye mguu wa mtoto
Badoo...Pole na kazi mume wangu
Hongera kwa kufunga mpenzi
😛😛😛 Michezo siyo uadui, nimeungana na wanamyamani kushaherekea.we ushindi wa simba unakuhusu nn fakalava we si umesema ni yanga
mm kwangu hapitiii kama ana mzigo wangu ampe leeTakiiiii, we si wapitia kwa Shunie!!!
Studio gani aise Mkuu!?!?Shede Wizzy beibi![]()
Nitumie anthem yenu wasapChelsea anthem - Blue is the colour
Chorus
Blue is the colour, football is the game
We're all together, and winning is our aim
So cheer us on through the sun and rain
'cause Chelsea, Chelsea is our name
Verse 1
Here at the Bridge whether rain or fine
We can shine all the time
Home or away, come and see us play
You're welcome any day
Chorus
............................
.............................
Verse 2
kwakweli tunakesha leo hakuna kulalaMkeshe kabsa.....
Utaletewa tuu..manake dada yako ameshanichimba biti huko...wasiliana na lee umpe aniletee shem
LNilidhani ni mbao za mninga kumbe mpapai.
Mkuu watake ladhi mbaoAsante mkuu![]()
Hongereni wazee wa dk ya 97
Mkipewa na zile point za mezani ubingwa wenu
........
Mmmhhh na Mimi Leo nao sikubalimpk cha3 baby![]()
Zile mbwembwe tuu, tz hamna mwenye mguu wa mtoto
Weeeee ntashindwajeeee
naona umeshaanza ya kuzunguka nyumba unakimbiaGenye?genye ukiziendekeza n problem ukizipotezea hazinaga shida

