Makapuku Forum

Makapuku Forum

naanzaje kufanyiwa kazi na wakati nimemfollow
Amini nakwambia lee anakupenda mpaka kaamua nikufatilie kwa kila hatua unayopiga iyo inaziilisha kabisa kwamba hataki ata chembe ya usaliti zidi yako hivo kumfanya akuamini maladufu na mapenzi yenu yadumu........

Hamaanishi kwamba iyo kazi kashindwa kufanya anachomaanisha nikwamba yeye sio mtu wakutembea majukwaa mengi nakujua kinachoendelea huko ndo mana kanipa kazi iyo mimi "mtumishi mtiifu"
 
Amini nakwambia lee anakupenda mpaka kaamua nikufatilie kwa kila hatua unayopiga iyo inaziilisha kabisa kwamba hataki ata chembe ya usaliti zidi yako hivo kumfanya akuamini maladufu na mapenzi yenu yadumu........

Hamaanishi kwamba iyo kazi kashindwa kufanya anachomaanisha nikwamba yeye sio mtu wakutembea majukwaa mengi nakujua kinachoendelea huko ndo mana kanipa kazi iyo mimi "mtumishi mtiifu"
hahahhh ni kiasi gani unavyoipenda hiyo kazi yaan hiyo avatar unaitendea kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom