Makapuku Forum

 
mm kapuku najihisi kama nipo kiwanja cha nyumban kama vile old trafford huko kwingine sina uhuru napo yaan humu mtu unakua upo free mnaongea vitu tofauti

yote kwa yote mtakayoafiki na kuongeza tupo pamoja mbarikiwe
 
Kuna kiyu kaongea bitozi kua kupost labda magazeti halaf watu hawampi sapoti hiyo inamvunja moyo mletaji. Nisiwe mnafiki mm ni mmoja wapo niliovunjika moyo ila kiasi chake lee anajitahidi kunipa spirit ya kuendelea kwa kuweka picha.
Mkuu sio wote tunazo access kama PA binafsi nimtumiaji wa simu kukupa backup ya picha nitakuwa muongo ndio maana nakuwa msemaji na msomaji mzuri kuliko kutoa backup
 
Point
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…