Pole mkuu tunatakiwa kumuomba Mungu kuelewa kuliko kueleweka,so sio mbaya kama hutuelewi maana ni neema kuelewa...muombe Mungu akupe hiyo neema.na tunakuombea.Kati ya watu nisiowaelewa ni watu wa humu
Kati ya watu nisiowaelewa ni watu wa humu
Itabidi unifundishe tuu maanaOne glass of wine!
Sijawahi onja baeYesuu iruvaaa
Dada hagusi !
We acha tuuI know my..! Najua sasa hivi ni vumbi la kufa mtu
Hongera kwa 155kSiku hizi watu kusingizia mimba ili wapate vitu vingine mf. hongera, sympathy, off kazini na mengineyo ni jambo la kawaida. Kuna binti mmoja yeye aliwapiga adoption agency kuwa ana mimba na mtoto atamtoa awe adopted, na familia ikapatikana wakawa wanamtunza kwa kumnunulia vyakula organic ale vizuri, wanamnunulia prenatals, wanamlipia mpaka kodi ya nyumba kumbe porojo tu. Zikifika siku za kwenda kwa daktari kupiga ultrasound binti visingizio kibao. Ndiyo baadaye ikajulikana kumbe ilikuwa mimba hewa na sasa kesi inaunguruma mahakamani. Mjini hapa mkuu be careful unaweza kutapeliwa hata emotionally![]()

n ww ndio umeandika au kuna mtu kashika simu yakoItabidi unifundishe tuu maana
Nyagei umekua adimu sna nimekumissHongera kwa 155k
![]()
![]()
![]()
Usijali mama! Ila kunywa ni nyumbaniItabidi unifundishe tuu maana
AmenPole mkuu tunatakiwa kumuomba Mungu kuelewa kuliko kueleweka,so sio mbaya kama hutuelewi maana ni neema kuelewa...muombe Mungu akupe hiyo neema.na tunakuombea.
Hahahan ww ndio umeandika au kuna mtu kashika simu yako
Green area, hii ndio Arusha yenyewe, hali ya hewa, kijani 7/30/12, ardhi nzuri, maji teleKuanzia kimandolu- ngulelo -Tengeru-makumira-Usa river
Ukanda wa ndizi
Mkuu Nyagei unaendeleaje,ubarikiwe you are missed in this forum you are so special.Hongera kwa 155k
![]()
![]()
![]()
wapi hukoKuna nini huku jamani