Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hapanaaaakwenye kazi yako
Hapanaaaakwenye kazi yako
hahahah mwehu ww kule nakuonea huruma ukiingia utapata shidaNa mm nipandishee monkarii![]()
![]()
![]()
Ahaaaaaaaah kwendaa zakoooninavyokuja ww hapo ulipo kama nakuona
hahahah acha ninyamaze nisije nikakupanikisha nikanuniwaAhaaaaaaaah kwendaa zakooo
Nenda kwa wakwe wewe ratiba inaonesha hivooo wambia mm mzima siendi na wewe Leo

Jifanye unajua kujalii Leo napatembeleaahahahah mwehu ww kule nakuonea huruma ukiingia utapata shida
Tuko poa mzima wewe
Nenda kwa wakwe wewe ratiba inaonesha hivooo wambia mm mzima siendi na wewe Leo![]()
![]()
![]()
![]()

Morning mkuu za uzimaMorning family
we njo tu shida utapata ww huko uliko sijui utabaka nnJifanye unajua kujalii Leo napatembeleaa
wanawake tofaut tofaut wanaume wasiopenda pombe asilimia kubwa ulevi wao upo chini
real?Oooooh!Love you
On ma way to Arusha, baadae handsome
Kumbe Quigley ni chuga boy!Ndizi zangu ukifika arusha mtafute Quigley
Njema mkuuhabari gani kapuku's
Kuanzia kimandolu- ngulelo -Tengeru-makumira-Usa riverTena ninazo za kutosha, waarusha wamenipa shamba