Makapuku Forum

Makapuku Forum

52ac635a3da499c76a5f1921338db17e.jpg
15b25ce48f6f07f050b375c549d20bd6.jpg
d15f10b707efa57bf98483d774b27d27.jpg
aefa7ec7ba1d364b7b5ae0946a75c925.jpg
 
Anasemaje tena
Aaah anajing'atang'ata mara oooh nina pesa nyingi sema na jimena akikibali ntakupa, cjui nin nlamwambia acha ujinga, kaa na pesa zako mimi soo lara1 one, ila ntasema na jimena.
Jimena naona atakufaa shem wasemaje?
 
Aaah anajing'atang'ata mara oooh nina pesa nyingi sema na jimena akikibali ntakupa, cjui nin nlamwambia acha ujinga, kaa na pesa zako mimi soo lara1 one, ila ntasema na jimena.
Jimena naona atakufaa shem wasemaje?
Huyo hafai, ogopa sana mtu anaejitangaza kuwa ana fedha, maaana anathamini pesa kuliko utu wa mtu.
Hivyo nakutuma ukamjibu hivii " kama pesa zake ni dili basi afunge ndoa na bank"
Asante kwa ujumbe ila hapana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom