Lol, una matatizo sana, niite mwinjilistiAKA ZA MEMBERS WA KAPUKU
Lee Empire>>>>> Jux wivu.
Mukubhi>>>>>> Mboga ya majani
Transcend>>>>> T
Nyagei>>>>>> Pimbi mwanaharakati.
Werrason >>>>>> Baba mchungaji/ Mukongo.
Mondray >>>>>>>> Rayvanny
Quigley >>>>>>>> Q/Kagame.
Mussolin5 >>>>>> Dikteta
Obe >>>>Janja weed
Blessed Hope>>>>>> Mama mchungaji.
Shedede>>>>>> Soud/mzee mkavu
Bitoz>>>>> Raisi wamasela/presidaa
NB. Baadhi hawajatungwa AkA soon na wao watazipata.
hahahahh nimekosea kuandika ujue nipo na mtu naongea nae aisee mnisameheAiiiseeèeeeeh
Karibu mkuuHello Makapuku, nikaribisheni humu, mana nimekua nikiranda randa tu huko mitaa mingine nimeona nihamiage na humu sasa
uonekane handsomeNitaweka hizo hizo angalau namm nionekane HB
Asante, nimekaribiaNjema mpendwa karibu
Sitaki. In Jpm voiceHakuna rudisha ileile tushakuzoea vibaya
Ulikuwa mzuri make ndani ya dakika replay sio za nchii hii ...ulisema kwa nini wanawake hawaolewi?? Nkawashushia nondo mujarabhu watuu wakatoaa ya moyoni ila majibu yote yalikuwa wanawake wanakwepa wanaume mfano unafunga pm ,kw3nye daladala unajifanya unasikiliza headphone n.kmods hawapendi utoke nje ya mada kwenye mada ya watu unapewa ban hiv hivi mm ndio mana nipo makini sana unaweza niquote nisijib sbbu ya ban
uzi gan uliweka mmu
Akipewa ban tu mm nakuchukua tumuone sasawivu wake siku apewe ban nifurahi kwenye uzi wa watu anaongea mambo ya michepuko
Lol, mjomba una undugu na DAB maana mikwara kama RCb(class rep) wa DarKaaa mbalii ntakufanya uone kapuku uku pabaya kijana
We shadadiaauonekane handsome
SIJUI.Hujuiiii???
AKA ZA MEMBERS WA KAPUKU
Lee Empire>>>>> Jux wivu.
Mukubhi>>>>>> Mboga ya majani
Transcend>>>>> T
Nyagei>>>>>> Pimbi mwanaharakati.
Werrason >>>>>> Baba mchungaji/ Mukongo.
Mondray >>>>>>>> Rayvanny
Quigley >>>>>>>> Q/Kagame.
Mussolin5 >>>>>> Dikteta
Obe >>>>Janja weed
Blessed Hope>>>>>> Mama mchungaji.
Shedede>>>>>> Soud/mzee mkavu
Bitoz>>>>> Raisi wamasela/presidaa
NB. Baadhi hawajatungwa AkA soon na wao watazipata.
Hahaha mbinu hii haikua ya wakoloni tu bado inatumikaDivaidi endi rulu
Huweziii ata nikikukuta rumu naye najua ndo walewale as dar full kusimuliana tamthiliaAkipewa ban tu mm nakuchukua tumuone sasa
utakua haujafutwa utakua umeunganishwa na uzi mwingineUlikuwa mzuri make ndani ya dakika replay sio za nchii hii ...ulisema kwa nini wanawake hawaolewi?? Nkawashushia nondo mujarabhu watuu wakatoaa ya moyoni ila majibu yote yalikuwa wanawake wanakwepa wanaume mfano unafunga pm ,kw3nye daladala unajifanya unasikiliza headphone n.k
Mkuu Bhinamuu wee mwacheLol, mjomba una undugu na DAB maana mikwara kama RCb(class rep) wa Dar
Akipewa ban tu mm nakuchukua tumuone sasa