Makapuku Forum

Makapuku Forum

1. mswahili ni mtu mjanja mjanja
2. mswahili ni mtu anaeongea kiswahili
3. mswahili ni mtu anaeongea sana

kuna maana tano za neno we umesimamia wapi kati ya hzo3

ha hahhaha, umesema tano, umetaja tatu, hizo mbili ni zipi? na kwanini ziwe tano na si 7 au chini ya hapo.

BTW, nimesimamia kwenye uswalihina
 
db41c8beb50b0f8255e6af8faac1038e.jpg
 
If your girlfriend's ass does not shake when she is brushing her teeth.. my dear braza you are dating a man!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom