Makapuku Forum

Makapuku Forum

MAKAPUKU FORUM
d482471f03903fd00295be20ce775396.jpg

Hii ni thread maalumu kwa ajili ya vijana kukutana na kujadili mambo mbalimbali kuhusu maujanja ya maisha pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili maishani
...........................................................

1d21b3a186ba8f3261f7bcf7304581cd.jpg

karibuni
Once a kapuku
Always a kapuku

Tusipangiane cha kupost
.........................
 
Okay.. Nyagei naomba muongozo tafadhali


Mwongozo ni mrefu huo,
unajua kusoma na kuandika?
Una cheti cha kuzaliwa?
Unaweza kuongea, kuandika, kusikia na kuelewa maneno/maandishi ya kiswahili?
Hata kama juwezi kuelewa, je unaweza kusikia maneno ya kiinglishi?
Unajua hesabu za kujumlisha na kutoa (humu kuna zile hesabu za kumbukumbu za Mussolin5
 
Mwongozo ni mrefu huo,
unajua kusoma na kuandika?
Una cheti cha kuzaliwa?
Unaweza kuongea, kuandika, kusikia na kuelewa maneno/maandishi ya kiswahili?
Hata kama juwezi kuelewa, je unaweza kusikia maneno ya kiinglishi?
Unajua hesabu za kujumlisha na kutoa (humu kuna zile hesabu za kumbukumbu za Mussolin5
Hivyo vyote havina shaka.. ila cheti ninacho cha ubatizo tu
 
Mwongozo ni mrefu huo,
unajua kusoma na kuandika?
Una cheti cha kuzaliwa?
Unaweza kuongea, kuandika, kusikia na kuelewa maneno/maandishi ya kiswahili?
Hata kama juwezi kuelewa, je unaweza kusikia maneno ya kiinglishi?
Unajua hesabu za kujumlisha na kutoa (humu kuna zile hesabu za kumbukumbu za Mussolin5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom