Mmhhuu naanza kupapenda tena humu kapuku ajili yakoNipo nawe bega kwa bega sikuteng honey
Safi pachaaahabari za usiku
Nafurahi kusikia hivyoMmhhuu naanza kupapenda tena humu kapuku ajili yako
Ha hahahhahah, juzi ulitangaza kumpenda yule, leo huyu tena, anyway ni maneno yako kwakeMmhhuu naanza kupapenda tena humu kapuku ajili yako
HakikaDalili zote zinaonesha itafika baada ya dakika chache usiku huu
Kumbe hebu nifungue macho obeHa hahahhahah, juzi ulitangaza kumpenda yule, leo huyu tena, anyway ni maneno yako kwake
Penda sana bibieNafurahi kusikia hivyo
mambo vpSafi pachaaa
MAKAPUKU FORUM![]()
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya vijana kukutana na kujadili mambo mbalimbali kuhusu maujanja ya maisha pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili maishani
...........................................................
![]()
karibuni
Once a kapuku
Always a kapuku
Tusipangiane cha kupost
.........................
Good sana bro sijui wwmambo vp
Acha uchocheziHa hahahhahah, juzi ulitangaza kumpenda yule, leo huyu tena, anyway ni maneno yako kwake
Okay.. Nyagei naomba muongozo tafadhali
Penda sana bibie
Daah kama nawaona pimbi na snipes + Obe wananimezea mate
kichwa chini mikono nyuma soon kitumbua kinaingia mchangaSoma post namba 150969Okay.. Nyagei naomba muongozo tafadhali
Kumbe hebu nifungue macho obe
Hivyo vyote havina shaka.. ila cheti ninacho cha ubatizo tuMwongozo ni mrefu huo,
unajua kusoma na kuandika?
Una cheti cha kuzaliwa?
Unaweza kuongea, kuandika, kusikia na kuelewa maneno/maandishi ya kiswahili?
Hata kama juwezi kuelewa, je unaweza kusikia maneno ya kiinglishi?
Unajua hesabu za kujumlisha na kutoa (humu kuna zile hesabu za kumbukumbu za Mussolin5
Mwongozo ni mrefu huo,
unajua kusoma na kuandika?
Una cheti cha kuzaliwa?
Unaweza kuongea, kuandika, kusikia na kuelewa maneno/maandishi ya kiswahili?
Hata kama juwezi kuelewa, je unaweza kusikia maneno ya kiinglishi?
Unajua hesabu za kujumlisha na kutoa (humu kuna zile hesabu za kumbukumbu za Mussolin5
