Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,095
Hahaha... Yakupite mbali Tena...au wewe uyakimbie??Ahaa kumbe ushaedit....ee napenda mema mabaya yanipite mbali
Dooh! Tunafana...Mtandao pekee ninaopost na kuutumia zaidi ni hapa JF
FB na insta nina akaunti lakini huwa sipost,kulike wala kushare chochote zaidi ya kusoma ishu mbalimbali mfano habari michezo n.k....watu ambao kwa siku wanapost mipicha yao kutwa mara 7 huwa nawaacha tu kwenye friend list ila siwafollow a.k.a nawaunfollow
WhatsApp nipo group la ukoo pekee tena huwa nauchuna zaidi
Natumia GB hivyo nafichaga hadi tick ili wajinga wanaotuma meseji za kipuuzi niwe nauchuna huku wao wakifikiri sina banco maana wanaona tock 1 pekee na status huwa sibadili mwaka mzima , picha ni mara mojamoja
Twitter,Viber, badoo n.k situmii kabisa japo simu ilikuja na app ya twitter lakini nimeiondoa
.....
NikufundisheSijui ku attach![]()
Yakiniona yanikimbie yenyeweHahaha... Yakupite mbali Tena...au wewe uyakimbie??
Hahahaaaa!Soon tunatangaza couple yetu kule MMU ili wasikufuatilie
Kafanyaje?
Ukitangaza nitag kwenye hiyo thread..Acha wivu jooh
Baadae saiz nna vijikaziNikufundishe
Na mimi unitagUkitangaza nitag kwenye hiyo thread..
LoooooooohMmh itakua kakwazana na mtu labda maana kuna uzi nadhani alianzisha
Cool Queen KanMmeshindaje humu
Shunie amekula bani nini?Baby shunie nashukuru kwa magazeti
Mbona naona ban kwako au umeweka tu ??
Hahaha..... Yanawezekanaje hayoYakiniona yanikimbie yenyewe
Ule uzi anaosema wanawake wasilazimishe ndoa?Mmh itakua kakwazana na mtu labda maana kuna uzi nadhani alianzisha
Pouwa wa mumbaiNa mimi unitag
Kwema mkuu, vipi kwa upande wako?Hahahahaa! Kwemaa?
Niliidondosha baada ya kuzidiwa na lepe zito la usingiziUlilala na simu mkononi eeh? Polee
Haha, utaniambiaBaadae saiz nna vijikazi