Yaaan bhinamu wewe ndo uliyebaki kuteteaa ndoa yangummmmmh, sio lee mjombaangu labda bruce lee, yaani Transcend alitaja kabisa lee empire ? sababu mjombaanu huyu kama kapewa limbwata (siamini mambo hizi najiandikia tu)
Ndo tumuulizeeekwahiyo aliongea uongo sbbu alikua ananitaka
baby mm nakuamini sana kama kweli wanasema una mchepuko watajua wenyewe na hiyo michepuko ninachojua unanipenda nakupenda bas hiko ndio kikubwaYaaan bhinamu wewe ndo uliyebaki kuteteaa ndoa yangu
Wote humu wanamtaka
Kwa usawa huu wa anko lazima nifidiee ...ntakubebeaa kadompokwani ukichanga kitu lazima uende
hahahhah umenikumbusha kitu ww n mwehuKwa usawa huu wa anko lazima nifidiee ...ntakubebeaa kadompo
acha tu nimwamin Transcend nimekua namsingizia na ww ulikuepo alivyoongea
Hayoo ndo maneno sasa ....ata kwenye party siendi ng'ooooooo narudiiii mapemaaababy mm nakuamini sana kama kweli wanasema una mchepuko watajua wenyewe na hiyo michepuko ninachojua unanipenda nakupenda bas hiko ndio kikubwa
Hayoo ndo maneno sasa ....ata kwenye party siendi ng'ooooooo narudiiii mapemaaa
uwahi babyHayoo ndo maneno sasa ....ata kwenye party siendi ng'ooooooo narudiiii mapemaaa
hahahah nimekumbuka
J ifanyee hujakumbukaaaaaa
Bhinamuuu kadi nimeachaa pale kwenye kale ka kitabu kako ka sokomoko ....ebu ulambee ufaidiii mema ya nchi...si una kadi ya dabo, kama kweli huendi nipe nikajichotee ujiko kwa yule ninayekwambiaga, nitajifanya mimi ndo mwenye kadi
mmh...si una kadi ya dabo, kama kweli huendi nipe nikajichotee ujiko kwa yule ninayekwambiaga, nitajifanya mimi ndo mwenye kadi
Nawahiiiii ila kadompo nakapitia apo supermarket make Leo shughuli unaijuaa mwenyeweeuwahi baby
Bhinamuuu kadi nimeachaa pale kwenye kale ka kitabu kako ka sokomoko ....ebu ulambee ufaidiii mema ya nchi
Nakujuaaa ukiamuaa mbona atakubari mamaaah na unavompendaaa wewe mwambie mapema mm yule rafiki yetu wa carina namtumiaa ya mafuta Leo mnaingia kama waziri wa mipango ....Ewaaa, hapo ndo nakuaminiaga sasa, nitaulamba hadi bob mazishi asijeharibu, kila mtu atajua, usicheze na pafyumu Gift of Zanzibar
Hahahahanaona dada unaendelea vizuri
Huyu watu washaanza kumjaza manenoMbona unaguna kama umepishana na mtu kajipaka mafuta ya YU