Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hahahhhhKwelii yataka moyo ila najua uko upande wangu ukikuta tax imepaki home nijulisheee nije kujitoa mhanga
hahahhhhKwelii yataka moyo ila najua uko upande wangu ukikuta tax imepaki home nijulisheee nije kujitoa mhanga
Hivi ntakimbiliaa wapiihahahhhh sitaki tena baby kumbe ananiangalia tu
achana na avatar fake shemelaHahahaaa! Ile shemela mzurii![]()
bas siwaambii tena ata neno kuwamiss hautalionaHivi ntakimbiliaa wapii
Leo kazi ipoo ...nisibadilishee nnusibadilishe baby mana nitakua nakujib kawaida mpk nije kujua n ww tena
Kweli sio kawaida yakeLooh! Isijekuta kazidiwa ?
Hatari sana nilikuwaHuyu jamaa ni kwere! No words but you will have your ribs displayed..![]()
baby bwana mbona hauelewi ni hivi huyo nyangei sijui nilikua sijui kama n yy alivyobadili avatar nimekuja jua leoLeo kazi ipoo ...nisibadilishee nn
Sasa mpaka nikute tax iko kwako mimi nitakuwa nafuata nini huko?Kwelii yataka moyo ila najua uko upande wangu ukikuta tax imepaki home nijulisheee nije kujitoa mhanga
Kaka lee lazima uvumilie majaribu maana nafsi inataka kupaaHahahaaa! Ile shemela mzurii![]()
pm kumefungwa nenda kwa leeNi pm basi..![]()
Mmh baby mbona nakuitaMm nimeanza kuitwaa lee wengine baby
![]()
![]()
![]()
![]()
hivi unakujaje kwetu mume hayupoSasa mpaka nikute tax iko kwako mimi nitakuwa nafuata nini huko?
Loooooooooooh ....usinifanyie hivooHahahaaa! Ile shemela mzurii![]()
Kama nikuja kuleta ile ishu naletaga?hivi unakujaje kwetu mume hayupo



NawafataaNi pm basi..![]()