KAPUKU WA SIKU ;
Tunatambua uwepo wa kapuku wote humu ndani ,nichukue nafasi hii kutambua uwepo wa mkuu kapuku TRANSCEND kuwa ndo kapuku wetu wa Siku ya Leo tar 13 march ..
Tunashukuru kwa mchango wako wa Leo
Maana ya kapuku..;Nshajibu au kuna swal kauliza sijaona?
Ila mkuu nsaidie maana ya kapuku
Umesomeka mubasharaThat's true mkuu ...uzuri kapuku wote ni sawa humu na kutambua hilo nimethamini uwepo wako kwa Leo sio kawaida yako from morning up now ..you deserve it mkuu
Na hii tuzo naomba atakuwa anatoa mtu yoyote kwa mtu yeyote simply kwa kuthamini zaidi uwepo wake kwa Siku ila kama nimekosea nisamehewe nimeitoa kwa upendo ...
Nawasilisha
Una-jump tu last zikikuzidi maana ni ngumu ku-control vifurushi vya MakapukuPage zinakimbia kwa speed kali
JE WAJUA??
RICHARD HARRIS aliyecheza kwenye filamu ya Harry potter kama Profesa Dombledore, alikua amekataa kucheza nafasi hiyo. Lakini alikubali kucheza nafasi hiyo baada ya mjukuu wake wa kike mwenye miaka 11 kumuambia kua kama hatacheza nafasi hiyo basi hata ongea nae tena.
****Special for Kapuku of the Day**********
Brother Transcend
Huge Respect bro
Mkuu hako ni kausumbufu kwa wanaotumia simu ujue
Jibu mubasharaUna-jump tu last zikikuzidi maana ni ngumu ku-control vifurushi vya Makapuku
Pole mkuu!Nimeangalia ila sikuwa nazifuatilia hizo
Asubuhi tulianza page ya 3523 sasa hivi 3540Una-jump tu last zikikuzidi maana ni ngumu ku-control vifurushi vya Makapuku
Nilichokifikiri ni kwamba leo ni kama mechi uwanjani na katika hii mechi wewe ndio umekuwa mchezaji bora wa mechiSometimes feelings ni kikohozi hiwezi kuficha..!so hujakosea brooh!
Ila we both made the day together! Makupuku woteee....!
Falsafa yetu ni kuwa makapuku wote ni sawa na hakuna anayemzidi mwenzie!
Everyone deserve a Credit!
KapukuADITTION PUMBA ( in lee voice)
Najipendekeza tuzo ya Mgeni bora wa kikundi
Mpo vizuri kwa matumizi ya bando.Asubuhi tulianza page ya 3523 sasa hivi 3540
Kwa hiyo ni sawa na huyu mwanamieleka Goldberg kurudi ulingoni sababu ya mjukuu wake alisema anataka amshuhudie live ndio maana karudi ulingoni tenaThis is power of love!
Mzee alikuwa anampenda mjukuu wake sana...
Mode of the fact:
makapuku Tupendane
ADITTION PUMBA ( in lee voice)
Najipendekeza tuzo ya Mgeni bora wa kikundi
Teh teh yaani nimejiunga jana tu leo nimekua Jf Expert member lolKapuku
Mgeni-mwenyeji
This is a self trophy! Manake hadi itokee hivi tena ni ishu...
Maana mubashara hiiMaana ya kapuku..;
Hili neno linamaanisha member wa jf ambao sio maarufu au ni underground au watu ambao sio wakongwe wa jf..ukirudi nyuma hadi post # 5 utakuta link yenye maelezo mengi zaidi..
Hii ilianzishwa baada y baadhi ya members kudharauliwa, kufanyiwa kejeli na wakongwe wa jf. Wakati mwingine unasutwa tuu kisa huna umaarufu..
Hapo ndo ikawapo thread ya makapuku ambayo itamshimu kila mtu ambaye sio maarufu! Huku unatoa mchango na unaheshimiwa kama member mwingine..
Mkuu Bitoz unaweza ukaongeza nyama kidogo..
Cc:
Bitoz
Baily 5
Na makapuku wote..