Kwa hii je wajua sidhani kama ni mondray huyu..JE WAJUA??
kanisa katoriki limeweka rekodi ya kuwa na mtakatifu ambaye alikua anaonekana sehemu mbili kwa wakat mmoja.
Eg: Muda huu anaweza kua yupo Dar anahubir na muda huo huo yupo kigoma anabatiza.
Hata mm simjuiAnaitwa nani .
Kwann bossKwa hii je wajua sidhani kama ni mondray huyu..
Nilikunyima notice?Apana ata somo lenyewe mwalimu ni dojaaa mzuri ...notice alininyima sikulielewaa
Inaonyesha unamkubali sana dogo mond etiNilikunyima notice?
Bora nistop tuu..mondray nilimpokea vizuri...nikamtafutia binti naitwa Frem zero...akakimbiwa..! Tukamtafutia paprika..bado kala za mbavu...
Sasa anatongoza hadi wanaume..!
Yaani ukibadili avatar kesho anaweza akakupiga sound hapa hapa jukwaani
mkifunga utalala kwa obeKuangalia mpira bila matamanio ....ya tamu
KivipiHumu hampumziki jamani!!
hii chaiJE WAJUA??
kanisa katoriki limeweka rekodi ya kuwa na mtakatifu ambaye alikua anaonekana sehemu mbili kwa wakat mmoja.
Eg: Muda huu anaweza kua yupo Dar anahubir na muda huo huo yupo kigoma anabatiza.
Mmmmmh Leo sitoweza network iko lowWeka picha boss
picha vipiMmmmmmh
asante shemela unafanikiwaHahahaa! Mimi nishasema naitisha kikao cha ukoo wa makapuku..!
Ninyi mnazingua sana!
Toka laptop iharibike napitwa sana
Ahaaaaaaaaaaaaaaaah mwalimu katika ubora wakooNilikunyima notice?
Bora nistop tuu..mondray nilimpokea vizuri...nikamtafutia binti naitwa Frem zero...akakimbiwa..! Tukamtafutia paprika..bado kala za mbavu...
Sasa anatongoza hadi wanaume..!
Yaani ukibadili avatar kesho anaweza akakupiga sound hapa hapa jukwaani
hahahhhKwa hii je wajua sidhani kama ni mondray huyu..
Daaah basi wacha nisitishe tu maana ni = unakula ugali bila mbogaMmmmmh Leo sitoweza network iko low
JE WAJUA??
Jim Carrey kabla hajawa maarufu alikua anaishi kwenye Volkswagen Van yeye na familia yake
Ndio make nikirud ntatamani furaha ntakayokuwa nayo nipata tamumkifunga utalala kwa obe
Nashangaa tuMjibu Nyagei basi mkuu!
namuona mwalimu wakoAhaaaaaaaaaaaaaaaah mwalimu katika ubora wakoo