Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,226
- 39,940
BwaaaanaaaaabwaaaaaanaaaaaahLeo pumzi yako kipimo chako
Mama Mchungaji kaenda kwenye huduma.
Sijui ila last week alikuwa off-duty kwa sababu ya BanAlifanya nini?
Shunie vipiiiio? Leo uncle lee analala kitandani ama sebuleniMuulize shunie sasa make ndo tunatoka kwa kiwanjaa
Yaani sijui kichuya ana nini na yanga...
Kama mchawi vile....! Mtu anapiga goli sehemu usiyodhania anapiga goli..
Ile kona walionaga uchawi..
Hili goli la leo sijui wanajisikia vipi afu ndo la ushindi sasa..![]()
Walifikiri ataendelea kudribble...kumbe kipa alishakaa mkao wa kiteja...Hili goli la leo watajiona wamekuwa misukule





He's a wizardYaani sijui kichuya ana nini na yanga...
Kama mchawi vile....! Mtu anapiga goli sehemu usiyodhania anapiga goli..
Ile kona walionaga uchawi..
Hili goli la leo sijui wanajisikia vipi afu ndo la ushindi sasa..![]()

shemelaNawamis sana makapuku
HahahahhahhMkuu wako simba tuu humuu!
Kuna watu wameenda central muda huu
Nasikia yuko home ameshalala..wapi bitoz
me mzima shemela hofu kwakoLee niaje,shemela hajambo