happy birthday to u diktekta live long- Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Dikteta wa Makapuku Forum, Mussolin5
Namshukuru Mungu kwa kunibariki kufika siku hii kubwa kwangu, shukrani na pongezi pekee zeinde kwa wazazi wangu, sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea kwa Mungu awabariki katika maisha yao.
Happy birthday to ME.
sanaaa waswahili tunasema mashauzi sijui n ulimbukeni
Japo ni bilionea lakini ana tabia za kiswahili
.....
Asante ni Lee and Shunie kwq magazeti mbarikiwe sana siku njemaaaUdaku
Lee & shunie wanawatakia Siku njema yenye Baraka teleeeee
Njema ubarikiwe MondrayHabar za asubuhi wanafamilia wote wa makapuku
AmeeenHabari za kuamka wapendwa naamini wote mko salama namwomba Mungu awabariki katika kazi Na majukumu yenu muwe na afya njema Na furaha wale wote wenye changamoto Mungu awape wepesi n matumaini ,wagonjwa poleni Mungu atawaponya Mbarikiwe sana.
Udaku
Lee & shunie wanawatakia Siku njema yenye Baraka teleeeee
Happy birthday mkuu dikteta- Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Dikteta wa Makapuku Forum, Mussolin5
Namshukuru Mungu kwa kunibariki kufika siku hii kubwa kwangu, shukrani na pongezi pekee zeinde kwa wazazi wangu, sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea kwa Mungu awabariki katika maisha yao.
Happy birthday to ME.
Asante ,baraka za bwana zidumuAsante ni Lee and Shunie kwq magazeti mbarikiwe sana siku njemaaa
Senkiii yuu tuuSenks
Happybirthday Bablai- Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Dikteta wa Makapuku Forum, Mussolin5
Namshukuru Mungu kwa kunibariki kufika siku hii kubwa kwangu, shukrani na pongezi pekee zeinde kwa wazazi wangu, sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaombea kwa Mungu awabariki katika maisha yao.
Happy birthday to ME.
Amen mama mchungajiHabari za kuamka wapendwa naamini wote mko salama namwomba Mungu awabariki katika kazi Na majukumu yenu muwe na afya njema Na furaha wale wote wenye changamoto Mungu awape wepesi n matumaini ,wagonjwa poleni Mungu atawaponya Mbarikiwe sana.
Mimi ndie Baba mchu.....Umejuajeeeee
Jambo jamboooo mukuluu wa chattlePeoplezzzzzz jambo jambo?