Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,232
- 68,262
Leo katika Historia:
1861 - Rais Mteule Wa Marekani, Abraham Lincoln anawasili Washington DC kwa siri kutoka Maryland mara baada ya kuwepo kwa mipango ya kutaka kumuua.
Rais Lincoln alikuja kuuwawa mwaka 1865 kwa kupigwa risasi.
Leo katika Historia:
1861 - Rais Mteule Wa Marekani, Abraham Lincoln anawasili Washington DC kwa siri kutoka Maryland mara baada ya kuwepo kwa mipango ya kutaka kumuua.
Rais Lincoln alikuja kuuwawa mwaka 1865 kwa kupigwa risasi.
1903 - Cuba yaikodishaMarekani, Eneo la Guantanamo Bay kwa ajili ya shughuli za kijeshi.
Eneo hilo la Guantanamo kwa mara ya kwanza ilikuwa ni kambi ya jeshi la wanamaji wa Marekani, Us Naval Base mpaka pale mwaka 2002 walipoamua kufungua gereza kwa ajili ya wafungwa wa kigaidi.
Mara baada ya mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959, Cuba imekuwa ikiiomba Marekani kurudishiwa eneo hilo lakini ombi lao bado halijafanikiwa.
1969 - Daymond John anazaliwa.
Ni mfanyabiashara, mbunifu wa mitindo na mwasisi wa mavazi ya FUBU.
FUBU ni kifupi cha maneno For Us By Us.
1981 - Gareth Barry anazaliwa.
Ni kiungo wa kati aliyewahi kukipiga Aston Villa, Man City na sasa Everton.
Pia alichezea timu ya taifa ya England.
Ni mchezaji wa pili kucheza mechi nyingi katika ligi kuu ya Uingereza mara baada ya Ryan Giggs. Amecheza mechi 617.
1983 - Ahmed Hossam Mido anazaliwa.
Straika wa zamani wa Ajax, Tottenham, Wigan, Marseille, West Ham, Middlesbrough na timu ya taifa ya Misri.
Shem lee yupo wap kapotea bila kuagautakua umechelewa kusoma sa 2 tu nilishaweka
1988 - Nicolas Gaitan anazaliwa.
Ni winga kutoka Argentina anayekipiga Klabu ya Atletico Madrid.
Aliwahi kukipiga Benfica pia.
Pamoja sana bablai.Morning makapuku..
Thanks the dikteta musolini 5 umeniiongezea kitu kichwani, thanx bitoz kwa picha.
Nawatakia siku njema nyote