Makapuku Forum

1969 - Brian Laudrup anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Ac Milan, Bayern Munich, Chelsea, Ajax na timu ya taifa ya Denmark.

Alikuwa ni straika, winga aliyeshinda ubingwa wa ulaya mwaka 1992 akiwa na timu ya taifa ya Denmark.

Pia alitwaa ubingwa huo kwa ngazi ya vilabu akiwa na Ac Milan mwaka 1994.

Pia kaka yake Michael Laudrup alikuwa ni mchezaji waliecheza nae pamoja.
 

Shushushu kanjanja
.....
 

Rais wa maisha halafu watu wabaya sana wamempindua
....
 

Denmark zamani ya akina Schmeixhel ulikuwa noma
....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…