Mkuu hujaona baada ya shemeji yetu Nahrene kuja youngblood amepata raha isiyo kifani...Yaan hadi anatumia loud speaker kuongea naye ili kwa wale waliodhania mabaya wajue wameshindwa...Dah kweli wanatutesa wanapo jificha..
Hilo nakuahidi kabisa na wala usitie shaka maadamu kiburudisho hichi kinaendelea mambo yatakuwa shwar kabisa..Nikutakie jtatu nzur Shem wangu...Shem umependeza sana wapi Th Name ?
Hilo nakuahidi kabisa na wala usitie shaka maadamu kiburudisho hichi kinaendelea mambo yatakuwa shwar kabisa..Nikutakie jtatu nzur Shem wangu...Shem umependeza sana wapi Th Name ?