Shabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii
Shabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii
Shabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii
Tena Gwajima leo kaahidi maajabu na miujiza ya aina yake. Kama unajihisi kuwa una mikosi mikosi basi leo ndo siku ya kufika kwa Gwajima. Unaambiwa hata kama Makonda alikuwa anatarajia kukutaja basi jina lako hatalikumbuka tena! Ooooh tazama yote yamekuwa mapya!!!