Makapuku Forum

Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji.....
Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.

~sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure

 


Bora hiyo bangi uliyovuta, ungevuta unga mngetafutana na mkuu wa wakuu wa mikoa ya Zanitana=
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…