shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Naunga mkonoViporo vinaleta usingizi....hongera na kadi
jana shululu kakutafta sanaa
Naunga mkonoViporo vinaleta usingizi....hongera na kadi
jana shululu kakutafta sanaa
Kwema mkuuSalamu humu
Pamoja mkuuAsante kwa magazeti ya leo mkuu Lee
Hana namba....
Nimepata info jana umenitafuta kwelikweliKwema mkuu
Mane amerudi UK na ndege ya asubuhi hii tayari kabisa kwa mechi ya ChelseaNimepata info jana umenitafuta kwelikweli
Alichokifanya mungu amemuonaaMane amerudi UK na ndege ya asubuhi hii tayari kabisa kwa mechi ya Chelsea
Sijamlengaa yeyote ila nimejikuta naipenda hii picha
Za jumapili shululuNaunga mkono
SalamaMalkia umeamkaje
Uchochezi huuSijamlengaa yeyote ila nimejikuta naipenda hii picha
Imekuwaje?Sijamlengaa yeyote ila nimejikuta naipenda hii picha
Maziwa tunayooo![]()
![]()
![]()
![]()
mke wa mtu sumu
Tafuta ml7 kabisaaSijatamka njaa![]()
![]()
![]()
![]()
Nzuri sana, vip pande hizoZa jumapili shululu
Hakuna kitu mkuuImekuwaje?