Nimeshamzoea. Tena ana bahati. PM ingekuwa haijawa blocked angejikuta analia na kusaga meno na wivu wake. Shimba na ushamba wake wa Kisukuma hachezagi akiamua. Sema tu sasa alishastaafu azawaisi ingekuwa patashika nguo kuchanika. Tuwe na amani na Mungu Aendelee kutulinda wapendwa!