Makapuku Forum

Makapuku Forum

144f7efdfedf0dee09fed453db4da64e.jpg
 
Niwatakie Heri ya Mwaka Mpya wadau wote humu ndani(uwe ni mwaka wa mafanikio zaidi) naamini sijachelewa sana
Majukumu yamezidi kunipoteza mwenzenu, huwa naibuka lakini kwa machale sana
Am really missing you fellaz..

QUIGLEY, Jimena, Bitoz, Bailly5, Mussolin5, Werrason, manuu, Patience123, amaizing, shululu, lizziebettie, Cobblepots, MANDELAA KIWELU, jonax, Makaveli10 & Sweetiepie, The book, Tetramylez, Papushikashi, MKWEPA KODI, SHIMBA YA BUYENZE, jerrysonkiria, shushushu VIP, radika, Shemtibuko, Ollachuga Oc, radika, lothrito, sacajo na wengine wote

Ooops! bila kuwasahau wanaolisongesha kwa sasa

lee empire, Transcend, Salaniatz, Obe, Shunie, ukhuty, Queen Kan, Clkey na wengine wooote!

Pamoja sana..
shukran briz na kwako pia
 
...zinatofautiana na shatiz za yulez jamaa yetuz wa mjiniz? Maana shati lake linafunika Vist
Mkamuungishe anataka kufungua duka la nguo la mamen n mabebez
Pia huyo anayeshinda after school bash ana damu ya Kinyaki(kwa mama)
Pensi lake nasikia linatosha kutengenezea turubai
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
......
 
Back
Top Bottom