Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Morning MalkiaMorning
Hahahhh imehackiwaSwali
Hivi akaunti ya insta ya yule dada Mnyaki mvaa machupi makubwakubwa muuza supu imeblockiwa?
......
shukran briz na kwako piaNiwatakie Heri ya Mwaka Mpya wadau wote humu ndani(uwe ni mwaka wa mafanikio zaidi) naamini sijachelewa sana
Majukumu yamezidi kunipoteza mwenzenu, huwa naibuka lakini kwa machale sana
Am really missing you fellaz..
QUIGLEY, Jimena, Bitoz, Bailly5, Mussolin5, Werrason, manuu, Patience123, amaizing, shululu, lizziebettie, Cobblepots, MANDELAA KIWELU, jonax, Makaveli10 & Sweetiepie, The book, Tetramylez, Papushikashi, MKWEPA KODI, SHIMBA YA BUYENZE, jerrysonkiria, shushushu VIP, radika, Shemtibuko, Ollachuga Oc, radika, lothrito, sacajo na wengine wote
Ooops! bila kuwasahau wanaolisongesha kwa sasa
lee empire, Transcend, Salaniatz, Obe, Shunie, ukhuty, Queen Kan, Clkey na wengine wooote!
Pamoja sana..
Kwema, vp weweKwema hapa wakuu
Malkia morningAmuache bwana tzsweetheart wetu![]()
Ndiyo hiyo,Kuna kupatwa na kupatikanaHuyo Zari mbona anamsakama sana wema jamani khaa...leba sio mchezoo! .....BTW:shukrani mkuu kwa udaku
Mkamuungishe anataka kufungua duka la nguo la mamen n mabebez...zinatofautiana na shatiz za yulez jamaa yetuz wa mjiniz? Maana shati lake linafunika Vist
Pia huyo anayeshinda after school bash ana damu ya Kinyaki(kwa mama)
Pensi lake nasikia linatosha kutengenezea turubai
![]()
![]()
![]()
......
Morning....mzima shululu?Malkia morning
Mie cjambo kabisaaKwema, vp wewe
na yy atakua amekumissKuna mtu nimemmisiii humu .....
anazunguka wapiYupo anazunguka zunguka
Mzima kabisa, vp upande wakoMorning....mzima shululu?
Irudishe Ile avatar ya mwanzoMie cjambo kabisaa