Makapuku Forum

Makapuku Forum

uelewa wa misimu ndio nini

Mdau Shunie , misimu ni maneno/semi za muda na mahali maalum ambazo huzuka na kutoweka kutegemea mazingira maalum. Ni maneno ya kuzuka na kutoweka yanayotumiwa na baadhi ya watu Mara nyingi misimu huwa haidumu na ikitokea ikadumu basi huingia na kuwa misamiati.i
Mfano;
kihiyo
wowowo
demu
bitozi
 
Mdau Shunie , misimu ni maneno/semi za muda na mahali maalum ambazo huzuka na kutoweka kutegemea mazingira maalum. Ni maneno ya kuzuka na kutoweka yanayotumiwa na baadhi ya watu Mara nyingi misimu huwa haidumu na ikitokea ikadumu basi huingia na kuwa misamiati.i
Mfano;
kihiyo
wowowo
demu
bitozi
Mmmmmmmh we si ulikua nondo kwenye utaimuu kipaa ?? Na uko tena
 
In addition ....
828800892fd0079ae88e65391c945910.jpg
05aeea952955e281de7e3603ca43d084.jpg
debed2e1b6ebdaa1775d83ba3fbf983e.jpg
[/QU


Asante sana mdau lee empire naona leo umeamua kuyatenga ya ung'eng'e na kiswahili.
Kazi nzuri vichwa vya habari kwa kiswahili, picha nimeangalia za magazeti haya ya lugha yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom