Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
AhaaaaaaaaaaaaaahKwani yule ni Mnyaki? Anavaaga michupi mikubwamikubwa km pazia za Yutong?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
AhaaaaaaaaaaaaaahKwani yule ni Mnyaki? Anavaaga michupi mikubwamikubwa km pazia za Yutong?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Kwani yule ni Mnyaki? Anavaaga michupi mikubwamikubwa km pazia za Yutong?
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Pia huyo anayeshinda after school bash ana damu ya Kinyaki(kwa mama)...zinatofautiana na shatiz za yulez jamaa yetuz wa mjiniz? Maana shati lake linafunika Vist
...zinatofautiana na shatiz za yulez jamaa yetuz wa mjiniz? Maana shati lake linafunika Vist

Niajee shululuIna fanya kazi
Bhinamuuuuuu uko muzuriiiiii???...zinatofautiana na shatiz za yulez jamaa yetuz wa mjiniz? Maana shati lake linafunika Vist
Obe kwenye ubora wako...zinatofautiana na shatiz za yulez jamaa yetuz wa mjiniz? Maana shati lake linafunika Vist
Poa Lee, za kugufurikaNiajee shululu
Nashukuru Sir God mkuu nimegufurika vilivyo tonge litapatikanaPoa Lee, za kugufurika
Bhinamu Obe hakoseagi kitengo chakeObe kwenye ubora wako
Nimemnyoshea mikonoBhinamu Obe hakoseagi kitengo chake
Sema jana ndo katia fola kaitwa kwenye sherehe na jirani wakati huyo jirani hana kadi ,ndo sijui walimtimua??Nimemnyoshea mikono
Sema jana ndo katia fola kaitwa kwenye sherehe na jirani wakati huyo jirani hana kadi ,ndo sijui walimtimua??
Inabidi atupe mrejeshoSema jana ndo katia fola kaitwa kwenye sherehe na jirani wakati huyo jirani hana kadi ,ndo sijui walimtimua??
Niwatakie Heri ya Mwaka Mpya wadau wote humu ndani(uwe ni mwaka wa mafanikio zaidi) naamini sijachelewa sana
Majukumu yamezidi kunipoteza mwenzenu, huwa naibuka lakini kwa machale sana
Am really missing you fellaz..
QUIGLEY, Jimena, Bitoz, Bailly5, Mussolin5, Werrason, manuu, Patience123, amaizing, shululu, lizziebettie, Cobblepots, MANDELAA KIWELU, jonax, Makaveli10 & Sweetiepie, The book, Tetramylez, Papushikashi, MKWEPA KODI, SHIMBA YA BUYENZE, jerrysonkiria, shushushu VIP, radika, Shemtibuko, Ollachuga Oc, radika, lothrito, sacajo na wengine wote
Ooops! bila kuwasahau wanaolisongesha kwa sasa
lee empire, Transcend, Salaniatz, Obe, Shunie, ukhuty, Queen Kan, Clkey na wengine wooote!
Pamoja sana..

Kaleta mrejesho ...Inabidi atupe mrejesho
Oooooraaaaaaaaaitaaaah bhinamuuu ...mujiniiii mipangoooiHa hahahhahah, hivi nilisahau kuleta mrejesho!?
Ilikuwa hivi; jirani aliyenikaribisha anafahamiana na mpishi Alli Mapilau so tuliingia kama wapishi wasaidizi (MY-mind you; shida yetu ni kula na si kusheherekea mambo yao)
Kifupi tulifanikiwa na tulipiga mpunga na vinywaji kama mabosi vile na MA (Mission Accomplished)
Yupo anazunguka zungukaKuna mtu nimemmisiii humu .....