Hongera kwa 132k .....eti naibukaMukongo hapatikani Siku hizi

Ww si ndio ulianza au anaogopa ndegeMmmmmh kweli shunie wangu ??
Hivi hakuna kapuku aliyekutokea?hahahhah kazi gan sasa
Mswahili yuleEti nimechomeka wapi mpaka nichomoe? JK shida

![]()
Acheni kunisimanga nilikuwa gheto na Malkia Kan
![]()
![]()
![]()
......
HahahhhLee anasema wewe
Na
Wewe unasema Lee ndiyo kasema
Mcute![]()
Acheni kunisimanga nilikuwa gheto na Malkia Kan
![]()
![]()
![]()
......
Mm ndioAf weweh!
hahahhahHivi hakuna kapuku aliyekutokea?
Au madomo zege...ngoja nije PM zen nikupe vitu vya kitozy
![]()
![]()
![]()
......
Mambo yetu yaleeeKutaka nini?![]()
![]()
Huku ndo him kwa akina Bitoz panaitwa Mabibo Beach
![]()
![]()
![]()
........
Mambo yetu yaleee
Balozi we mbona mchokozi ...ushaona namwita shunie wangu alafu unataka kuninyanganya tonge mdomoniHivi hakuna kapuku aliyekutokea?
Au madomo zege...ngoja nije PM zen nikupe vitu vya kitozy
![]()
![]()
![]()
......
Umetisha, aisee kweli ni malkia![]()
Acheni kunisimanga nilikuwa gheto na Malkia Kan
![]()
![]()
![]()
......
Haya mzee wa kasayiMr. usi-quote mazageti Bhana![]()
Wadudu wadogo wadogo wananyemvua nyemvuaKutaka nini?![]()