Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Anatetemeka hahahhAu na yeye ana presha akipanda ndege
Anatetemeka hahahhAu na yeye ana presha akipanda ndege
![]()
![]()
![]()
aiseeeeh Ntakudanganya nikijibu labda nimuulize mkuu Shululu nasikia alikua bingwa kwenye somo la Biologia
Au na yeye ana presha akipanda ndege
Mkuu unasema ukweli ?? Ila na wewe ulikua nondo tusaidiee....sio somo lote, sema ubingwa wake kwenye kale katopic kenu mnakokaita ripurodakisheni😀😀😀 hapo ataeleza hadi michoro
Na Mimi mkuu unanisingizia ....usinichonganishe na Balozi aiseee ...nimesikia kutoka kwa Shunie...sijasema mimi, mimi nafanya fitna akifika kituo kipya 'namdipu' ananipigia
Mkuu unasema ukweli ?? Ila na wewe ulikua nondo tusaidiee
Ahaaaaaaaaaaah...uko sahihi, nilikuwa nondo kweli hadi nikapewa u-timekeeper, muda wote naangalia saa nigonge kengele, na unguli wangu kwenye kipindi cha mapumziko hauna mfano

Utata upi tenaMorning jembe ...ila unahitajika sana na Queen Kan tuondoe utata jembe
Morning LeeMorning jembe ...ila unahitajika sana na Queen Kan tuondoe utata jembe
Umzima shunieAnatetemeka hahahh
MorningMorning shululu
Utata umeanzia gazeti la Udaku kuhusu mama dai ...Queen kan angalia alivouliza pitia juu kidogoUtata upi tena
Huwa inasababishwa na kutofaidi ujanani, na umri wa fujo ni 22 to 30, baada ya hapo kila kitu unakiona cha kawaida sanaHivi umri huo bado unakua unataka?![]()
Haaahaaa ulikuwa unatisha sana...uko sahihi, nilikuwa nondo kweli hadi nikapewa u-timekeeper, muda wote naangalia saa nigonge kengele, na unguli wangu kwenye kipindi cha mapumziko hauna mfano
mm nimekusikia wwNa Mimi mkuu unanisingizia ....usinichonganishe na Balozi aiseee ...nimesikia kutoka kwa Shunie
me ni mzima shululu hofu kwakoUmzima shunie