Makapuku Forum

Nawe pia mutu ya kongo
 
Bailly5 nimekua nikiisubiria siku hii kwa ham na kuiwaza sana mpenzi Leo umeniweza

Honey, kwanza nimshukuru Allah kwa kukuleta duniani na kunikutanisha nawe

So kwa makuaudi yetu but n Allah's plan

My love happy birthday Allah akupe umri akupe afya akuepushe na maradhi makubwa madogo na ya kila namna

Akujaalie kila lenye heri nawe akuepushe na kila baya

Babe on your special day I just want to say thank you

Thank you for being there kila ninapokuhitaji

Sometimes nakua msumbufu nakukera but it's all about love

Nachokitambua n kukupenda na kukupa furaha kadiri ninavyoweza

Honey, I love you so much Na nakutakia kila lenye heri kwa yajayo mbele

Happy birthday my love
 
Asante sana mpenzi wangu. Uwepo unanifanya niwe na amani.

Nashukuru kwa maneno mazuri haya. Mwenyenzi Mungu akubariki na pia akupe maisha marefu ili tufurahi kuwa pamoja siku zote.

Sina mengi ya kusema zaidi ya asante sana mpenzi.

Nakupenda sana love. Madame S
 
furaha niliyonayo haielezeki nikiangalia nyuma tulipoanzia na hapa tulipo natabasam na kumshukuru Allah kunipatia wewe

My love I love you more sijui nikuelezee vipi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…