Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu kwema.

Leo ni Ijumaa ya Tarehe 13, Wazungu wanaiita Friday the 13 th wanaamini ni siku ya mkosi na matukio mabaya, hivyo wenye kuamini siku kama ya leo huwa hawatoki kwenda popote kwa kuhofia mabaya kuwakuta.
 
ffb4194225646f5f7dd04c528de1f3ba.jpg

Now nipo kwenye nyama choma Iringa

......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom