Makapuku Forum

Mkuu ngozi nyeupe ni level nyingine, ukifanya nao kazi zaidi ya miaka 5 unabadilika kifikra
 
Buyenze ni nini mkuu
Ni hayo manyoya ya shingoni mwa hilo simba dume. Huwa yanasimama likitaharuki au kuhisi hali ya hatari; na wakati mwingine likitaka kuvitisha visimba vitineja vinavyonyemelea majike yake. Sijui neno lake halisi katika Kiswahili. Sasa Madenge amekazana eti nibadilishe jina niwe Faru ya Buyenze. Si maajabu haya!
 
Labda uwe faru jo
 
Haaaahaaaa,bitoz itabidi aoe msukuma tu, maana hamna namna nyingine sasa
 
Aisee huku kijijini nilipo wakulima hawana trekta wachache wanalima kwa plau za kuvutwa na ng'ombe....ardhi ina rutuba lakini wanalima kizamani matokeo yake shamba kubwa mavuno kiduchu
Wanatia huruma
.......
 
Nilifikiri Buyenze ni kijiji chenu
.......
 
Aisee huku kijijini nilipo wakulima hawana trekta wachache wanalima kwa plau za kuvutwa na ng'ombe....ardhi ina rutuba lakini wanalima kizamani matokeo yake shamba kubwa mavuno kiduchu
Wanatia huruma
.......
Wewe unawasaidiaje? Hata kimawazo tu? Wakati huo huo mabwana shamba wametia pamba zao wapo maofisini mijini na mshahara wanavuta kila mwezi. Tanganyika!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…