Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Mkuu una maslahi mkuu??Sumbai Nakurionya/nakuonya usivunje bhana
Watu wana roho nzuri hadi wamepitiliza.Anajenga kwa wenzake
Akirud kwake atakuta kumeshabomoka
Mdogomdogo utaibiwa na hyu sumbaiWeekend ni poa sana..
Vp ulienda kanisani??
Kimeanza kueleweka mkuu!Naam mamaangu😳
Huyu jamaa ana stock balaaAdui mwombee njaa....
Ahaaa sumbai eeeAnajenga kwa wenzake
Akirud kwake atakuta kumeshabomoka
Mkuu mimi ndo nilifunga kambaMkuu una maslahi mkuu??
KhaaaaMkuu mbona poa tu hiyo! Mi mwenyewe nnamuda mrefu nasali kupitia TV tu. Wamerahisisha sana.
Kijana upo!Watu wana roho nzuri hadi wamepitiliza.
Tigo/airtel/m pesaKhaaaa![]()
![]()
![]()
Sadaka unatoa wapi??
Labda italeta maana kama unawapelekea watoto yatima na waishhio ktk mazingira magumu na wahitaji wengine
Si unatuma Mpesa Mimi mwenyewe nliangalia ibada baada ya kushindwa kwenda.Khaaaa![]()
![]()
![]()
Sadaka unatoa wapi??
Labda italeta maana kama unawapelekea watoto yatima na waishhio ktk mazingira magumu na wahitaji wengine
Dalili cio njema sanaSumbai hanipati ng'ooo![]()
![]()
Kwangu ndio nakujenga sasaAhaaa sumbai eee