Makapuku Forum

Makapuku Forum

Fundi majeneza alipata oda ya Jeneza akawa anapeleka kwa gari lake. Njiani gari ikaharibika, akaamua kubeba kichwani kumpelekea mteja wake akakutana na askari wa4 wakiwa doria, akajua lazima watataka rushwa.

Askari;- Unakwenda wapi na hilo jeneza usiku huu?

Jamaa:- Nilikuwa nimezikwa makaburi ya Sinza sijapapenda ndo naelekea Kinondoni nikajizike karibu na Kaburi la mtu maalufu au mnanishaurije?
*MPAKA SASA HIVI ASKARI HAWAJULIKANI WALIPOKIMBILIA*.
 
Fundi majeneza alipata oda ya Jeneza akawa anapeleka kwa gari lake. Njiani gari ikaharibika, akaamua kubeba kichwani kumpelekea mteja wake akakutana na askari wa4 wakiwa doria, akajua lazima watataka rushwa.

Askari;- Unakwenda wapi na hilo jeneza usiku huu?

Jamaa:- Nilikuwa nimezikwa makaburi ya Sinza sijapapenda ndo naelekea Kinondoni nikajizike karibu na Kaburi la mtu maalufu au mnanishaurije?
*MPAKA SASA HIVI ASKARI HAWAJULIKANI WALIPOKIMBILIA*.
 
Fundi majeneza alipata oda ya Jeneza akawa anapeleka kwa gari lake. Njiani gari ikaharibika, akaamua kubeba kichwani kumpelekea mteja wake akakutana na askari wa4 wakiwa doria, akajua lazima watataka rushwa.

Askari;- Unakwenda wapi na hilo jeneza usiku huu?

Jamaa:- Nilikuwa nimezikwa makaburi ya Sinza sijapapenda ndo naelekea Kinondoni nikajizike karibu na Kaburi la mtu maalufu au mnanishaurije?
*MPAKA SASA HIVI ASKARI HAWAJULIKANI WALIPOKIMBILIA*.
 
Fundi majeneza alipata oda ya Jeneza akawa anapeleka kwa gari lake. Njiani gari ikaharibika, akaamua kubeba kichwani kumpelekea mteja wake akakutana na askari wa4 wakiwa doria, akajua lazima watataka rushwa.

Askari;- Unakwenda wapi na hilo jeneza usiku huu?

Jamaa:- Nilikuwa nimezikwa makaburi ya Sinza sijapapenda ndo naelekea Kinondoni nikajizike karibu na Kaburi la mtu maalufu au mnanishaurije?
*MPAKA SASA HIVI ASKARI HAWAJULIKANI WALIPOKIMBILIA*.
Hahahahaha
 
e4f517452ee4e22ead8e6200c146b9a7.jpg


Tunalisaka tonge ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom