Makapuku Forum

Makapuku Forum

picha ya chura tena [emoji28][emoji28][emoji28] niacheni jamaan
Hebu uwekange mupicha ya muchura yako nikuambie kitu mamii

Chura ni majaaliwa na sio wote wanapenda chura
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kesho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anavituko sana huyu werason but ni mtu peace sana.
Kule mnadanganyana kuwa huku tu wakorofi mara nini but sio kweli, hapa watu wanaheshimiana, kupendana na hata kufahamiana physically, so twaitana family
 
3bd2c7ceb06384ca57e8396cf31591fa.jpg
 
Nimegundua saga la Melo limewafanya mods wawe na hasira badala ya woga

Now thread za kumchana Faru John zinaachwa tu....ht reply za kuwachamba kina FaizerFix hazifutwi....watu wanachanwa hadi misamba halafu NO BAN tofauti na zamani
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
........
 
Back
Top Bottom