Anavituko sana huyu werason but ni mtu peace sana.
Kule mnadanganyana kuwa huku tu wakorofi mara nini but sio kweli, hapa watu wanaheshimiana, kupendana na hata kufahamiana physically, so twaitana family
Nimegundua saga la Melo limewafanya mods wawe na hasira badala ya woga
Now thread za kumchana Faru John zinaachwa tu....ht reply za kuwachamba kina FaizerFix hazifutwi....watu wanachanwa hadi misamba halafu NO BAN tofauti na zamani