Mukongo upo ??Hellow guys, mupo? Au munaogopaga maporisi ya Melo?
TupooooooooooooMhhh. Makapuku mpooo
Nipo mkuu Livi, leta mu habari, naskiaga yule moya ya founder ya Jf ako ku mukono ya poliseeMukongo upo ??

Samahani mamii wengine tuko ku mufungo!

Em ageukege tuonemo muchura!

Pole kakaaaSamahani mamii wengine tuko ku mufungo!![]()
Na Mimi niko iko nasikiagaa kwa mvyombo vya habariNipo mkuu Livi, leta mu habari, naskiaga yule moya ya founder ya Jf ako ku mukono ya polisee![]()
Sio upo kwenye mfungooEm ageukege tuonemo muchura!![]()
AhsantemoPole kakaaa

Naingia mujf nakutaga polisee beba ule mu Max weka selo huko Tanzanii, ahame akuje BrusselsNa Mimi niko iko nasikiagaa kwa mvyombo vya habari
Nasikia Policcm wamevamia JFAhsantemo![]()
Mufahali ya mumacho pana filisi muduka nitaangalia nikusa fungua mamiiSio upo kwenye mfungoo
Nasikia Policcm wamevamia JF
Hawajui tofauti kati ya software na hardware
......

Utatafutwa na wwNasikia Policcm wamevamia JF
Hawajui tofauti kati ya software na hardware
......
Waje Mabibo Beach ndo naishi huku na kazi yangu ni mvuvi wa kambaleUtatafutwa na ww
Faru JohnKuna makapuku wenzangu wameadimikaa kinomaaa...kisa nin![]()