Ni kumbukumbu tu
kwa sie tuliyokuwa watundu utotoni......
Unatumwa dukan ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1000/= hafu ww unaamua kupitia sehem unanunua andaz la sh mia ili ukanunue mafuta ya 900/=
Na ukafika wanakouza mafuta wamefunga....
Hahahaha.....
Apo ndo kutafuta mafuta mpaka phamacy