Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Kuna mkono wa mtu sio bure!!!! Mnaaga mapema hivi woote..... Too young to die jamani.. Namm yuleeee naenda kulala nisije tolewa kafara.. Hata foot stapes sisikii!!! G9t kwa aliepo

Kuna mkono wa mtu sio bure!!!! Mnaaga mapema hivi woote..... Too young to die jamani.. Namm yuleeee naenda kulala nisije tolewa kafara.. Hata foot stapes sisikii!!! G9t kwa aliepo

nipo naye hapa..kalalaJimena is nowhere to be found😳
nakusalimia my best friendMkuu umeshaamka nn au uko kwa mechi za ugenini?Ni kumbukumbu tu
kwa sie tuliyokuwa watundu utotoni......
Unatumwa dukan ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1000/= hafu ww unaamua kupitia sehem unanunua andaz la sh mia ili ukanunue mafuta ya 900/=
Na ukafika wanakouza mafuta wamefunga....
Hahahaha.....
Apo ndo kutafuta mafuta mpaka phamacy
Good morningGood morning ladies and gentlemen.
Tuamke wale wenzangu na mimi tukasali
Na kwako piaGood morning
Ibada njema
Ibada njema mpendwa, uniombee na Mimi.Mmeamkaje wapendwa?
Siku ya ibada Leo,tujitahid tuwahi
Kanisani.....
Jumapil njema
Mungu ni mwema katuamsha tena ni vizuri kwa wale tunaosali siku ya leo tukahudhuria nyumba za ibada...muwe na asbh njema watu wa MunguGood morning ladies and gentlemen.
Tuamke wale wenzangu na mimi tukasali
Mmeamkaje wapendwa?
Siku ya ibada Leo,tujitahid tuwahi
Kanisani.....
Jumapil njema
Good morning umesalimika kiongoz?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Good morning
.........................
Pamoja na wewe mkuuGood morning wapendwa,nawatakia jumapili njema na ibada yenye manufaa.