Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Je kuipa blog domain napo ni freeJipatie website kwa Bei nafuu sana .. Hosting na domain ni bureeee.. 0769338868
Je kuipa blog domain napo ni freeJipatie website kwa Bei nafuu sana .. Hosting na domain ni bureeee.. 0769338868
Angalia points .....Kigezo kipi kimetumika hapo kuibakisha Argentina kileleni
Blog wkt huu wa serikali ya Juma Pembe Mbili hazifai labda tu usiandike siasaJe kuipa blog domain napo ni free
Nimekupata mjanja wa ManzeseAngalia points .....
MTU anaweza kufungwa mechi 3 mfululizo lkn asishuke sababu bado ana point nyingi kuliko aliye chini yake
Mechi zote zinazotambuliwa na FIFA timu zinapewa point (win or draw),pia wa chini kumfunga aliye juu anapewa point kubwa
Mfano nchi ikijiunga leo FIFA basi itaanza na point![]()
Hivyo zile point ni km likes zako za JF ...Leo ukipata likes 5000 halafu Mimi nipate 7 haimaanishi utakuwa juu yangu kwenye list ya TOP 10 sababu mimi tayari ninazo 80,000+
................
..........
Hakuna siasa kakaBlog wkt huu wa serikali ya Juma Pembe Mbili hazifai labda tu usiandike siasa
![]()
![]()
![]()
........
Sawa mkuu!Vitu vingine nimefuatilia hapo unakuta ni mfano unatolewa au igizo au fundisho jinsi linakuja kutafsiriwa kutokana na picha kuwa mnato na sio mchezesho(video) tuwe makini tusijetenda dhambi
Njema ShululuZa jioni makapuku
Nakaa Mabibo Beach siyo ManzeseNimekupata mjanja wa Manzese
Ni 23:05![]()
v Feyernood
SAA 23:00
.....
Ipo kwa wapi hiyo beach ya mabiboNakaa Mabibo Beach siyo Manzese
.....
4,5,6 ni noma zaidi
Morning mkuuMorning all